Thursday, September 18, 2014

AUNT LULU EMBU INGIA UMTIZAME PICHA ZAKE








Aunt LULU ni msanii mwenye skendo nyingi kuliko kazi, ni mzuri wa sura na umbile lakini anahitaji kulifanyia kazi umbo lake ili liwe dogo la lenye muonekano mzuri, pia anahitaji kupaka mafuta mazuri yatakayoendana na ngozi yake, baada ya hapo anahitaji kuvaa mavazi ya heshima na kuwa na tabia njema kwenye jamii, akizangatiia hayo basi atafikia malengo.....






HUWA NIKIANGALIA MTU AMBAYE AMESHAKUA MAARUFU HALAFU ANASHINDWA KUTUMIA UMAARUFU WAKE KUTENGENEZA PESA NAHUZUNIKA SANA, WASANII HUU NIWAKATI WA KUAMKA, PESA MNAZOHONGWA HUWA HAZIKAI HATA MIAKA MIWILI ZINAWAISHIA, HAZINA BARAKA NDO MAANA ZINAISHA, KUWENI NA MIKAKATI YA MAISHA NA MFANYE KAZI NA MTAHESHIMIKA.

No comments: