Saturday, September 27, 2014

BONGE LA HARUSI KUFANYIKA KESHO HUKO VENICE ITALY...NI LA BONGE LA MOVIE STAR DUNIANI.

MWENYE NGUO NYEKUNDU NDO BIBI HARUSI MTARAJIWA NA BWANA HARUSI HUYO HAPO JUU




BIBI HARUSI MTARAJIWA MWENYE NGUO NYEKUNDU

MJI WA VENICE UMEJENGWA JUU YA MAJI KWA HIYO HUKO NI MWENDO WA BOAT TU MAGARI HAKUNA,

BIBI HARUSI MTARAJIWA












Picha hizo hapo juu ni za rehearsal ya harusi ya muigizaji bei mbaya wa Hollywood anayeitwa GEORGE CLOONEY. harusi itafanyika kesho kwenye mji uliopo juu ya maji wa Venice nchini Italy, bibi harusi ni raia wa uingereza na ni mwanasheria pia, George huwa anajulikana kwa kua na ma girlfriend tu na alikuwaga aliulizwa kwenye vyombo vya habari alkuwaga anasema hatarajii kuoa leo wala kesho licha ya umri wake kuzidi kukimbia, lakini safari hii ampatikana kwani muda mfupi tu baada ya kuanzisha mahusiano na mwanasheria huyo anayeitwa Amal , George mara moja alijikuta akitangaza ndoa,





No comments: