Thursday, December 19, 2013

WOLPER JACKLINE NA ZAMARADI MKETEMA BEEF ZITO

Eti inasemekana kwamba, muigizaji mwenye macho mazuri nchini Jackline Wolper anabeef na mtangazaji wa kipindi cha movie kinachoitwa TAKE ONE cha Clouds Tv anayeitwa Zamaradi Mketema, sababu ya beef ni nini? eti Wolepr hataki jinsi Zamaradi anavyozungumzia ishu zake kwenye kipindi chake, mfano ishu ya yeye kubadili dini kua muislam kwasababu ya pesa za dalas na kadhalika.
                                                             

                        JACKLINE WOLPER

                                 ZAMARADI MKETEMA
Sasa jamani, Zamaradi yeye anafanya kazi yake, inamaana anavyozirushaga movie zenu na kuzitangaza mbona hamchukii, yani pale mnapokosea pia ni lazima mkosolewe, wasanii wa Tanzania hasa wa movie kwakweli huwa wanawapa wakati mgumu sana watangazi na waandishi, yani wenyewe wanapenda waandikwe kwa mazuri tu, wakati mazuri wanayofanya ni machache, wamejaa skendo kila kukicha, mara huyu kahongwa gari, mara huyu kafumaniwa, mara huyu anatembea na mume wa mtu mara huyu hivi, sasa watu kama wakina zamaradi wasipoelezea na mabaya yenu basi vipindi vyao vitakua havina maana.

No comments: