Thursday, December 26, 2013

DIAMOND NA WEMA SEPETU MAMBO INOGILE


                                                   WEMA NA DIAMOND


Fununu zinasema Diamond ameachana na aliyekua girlfriend wake Pen na karudi kwa girlfriend wake wa miaka yote muigizaji Wema Sepetu. kiukweli ninachopenda kwenye huu uhusiano ni jinsi Wema alivyompenda Diamond toka hana kitu Enzi hizo ndo anaanza kuwika, na kila mtu alikua anamdharau Wema na kumsema atatembeaje na motto wa kiswazi, ila walisahau kwamba mapenzi si hela, KAMA SWALA NI HELA UNGANENI MTAFUTE WOTE, CHA MSINGI NI MTU MWENYE TABIA NZURI.

                             TUWAACHE WALALE

No comments: