Monday, December 23, 2013

HAYAWI HAYAWHI SASA YAMEKUA

Muigizaji mahiri wa Marekani GABRIELLE UNION na mcheza mpira wa kikapu DWYANE WADE wanatarajia kufunga ndoa hivi karibuni, Gabrielle ni mwanamama mwenye miaka 41 lakini hana motto na hana mpango wa kuzaa kwa sasa, na huyu kijana anamiaka 31, kwa hiyo mwanamke kamzidi mwanaume miaka 10.

                                             PICHA YA PETE YA ALMSI ALIYOVISHWA GABI
 
 
                                             GABRIELLE UNION na DWYANE WADE    
 
 
 Dwyane aliwahi kuoa hapo kabla, na kuzaa watoto wa wawili wakiume, baadae akatofautiana na mkewe huyo wa zamani ndo akaanzisha mahusiano na Gabrielle, hao watoto wa kiume wawili ni watoto wa Dwyane na mmoja ni mpwa wake
 
 
                                                     

inasemekana kwamba eti Dwyane alisaidiwa na hao watoto wake ku propose kwa Gabrielle,

No comments: