Friday, December 27, 2013

SHILOLE NA STEVE NYERERE JAMANI

Shilole ni mschana mzuri ambaye ni muigizaj wa bongo movie, huwa ni kawaida kwake kuandikwa magazetini ikizingatiwa yeye ni maarufu, amekua akiandikwa kupitia kazi zake na pia kupitia skendo za mapenzi, ila hii sasa naona inavuka mpaka, yani kwa mujibu wa gazeti moja, eti habari iliyowekwa kuhusu Shilole ni yeye kuibiwa simu, jamani nani anataka kusoma habari inayoelezea kua Shilole kaibiwa simu, yani inamaana Shilole kila kinachotokea kwake hata kama sio news anakipeleka kwa waandishi, jamani shilole jitahidi kutujulisha kuhusu kazi zako kupitia magazeti na sio vitu kama umeibiwa simu, inamaana kila anayeibiwa simu aandike gazeti sasa si kutakua hakuna nafasi za habari nyingine manake kuibiwa simu ni jambo la kawaida mjini.

 
SHILOLE
 
STEVE NYERERE
 
Huyu pia ni muigizaji na yeye habari iliandikwa kuhusu yeye ni kuibiwa Ipad na si habari za maana kama katoa movie mpya n.k

No comments: