Friday, December 20, 2013

WEMA SEPETU ASHAURIWA KUA KAMA JOKETI MWEGELO

Hivi karibuni, miss Tanzania namba 2 wa mwaka 2006, alifanikiwa kufungua saloon kubwa ya wanawake, ikiambatana na clothing line yake inayoitwa KIDOTI, pia nywele yani weavs, mwanadada huyo anayeitwa Jokate Mwegelo, amekua hasimu mkubwa wa miss Tanzania namba 1 mwaka huo huo 2006 kutokana na mambo kadhaa, kwanza kabisa ni kitendo cha Wema kua namba moja na yeye kua namba 2 kwenye kinyang'anyiro cha u miss Tanzania, lakini kikubwa ni kitendo cha Joketi kutembea na aliyekua boyfriend wa Wema kwa kipindi hicho mwanamziki/muigizaji DIAMOND PLATNUMZ,
                                                                    WEMA SEPETU
 
WEMA SEPETU
 

 
                                  WEMA SEPETU NA MANAGER WAKE MARTIN KADINDA
 

Mashabiki wa Wema wamemuomba Wema angalau awe na vitega uchumi hasa katika kipindi hichi magazeti yanapomsema kwamba anaanza kufilisika, Wema ni star namba moja anayependwa sana na watu hivyo mashabiki hao wakawa wakitoa ushauri kwamba ikiwa Wema atafungua saloon kubwa au duka la nguo basi ataweza sana kupata wateja kutokana na jinsi anavyopendwa na watu, na pia wamemshauri hivyo kufwatia mpinzani wake Jokate kuonekana akifanya sana mambo ya maendeleo kuliko Wema ambaye wanamtuhumu sana kwa kutumia hela kwa mambo yasiyo ya msingi kama shoping ya mbwa wake kufanyika china, mara kukodi ndege kwenda Arusha, mara kuwatunza wanamziki hela nyingi sana majukwaani, wengi wamemuomba Wema kuanza kuweka vitega uchumi kwani uzuri unamwisho, na pia umri unaenda, hivi sasa ndo kipindi cha yeye kuwekeza,
 
 
       HII NI PICHA YA JOKATE MWEGELO MPINZANI MKUBWA WA WEMA


Hii ni saloon ya Jokate iliyofunguliwa hivi karibuni
 
                                      saloon ya Jokate
 

 

No comments: