Wednesday, December 18, 2013

RAY KIGOSI NA LULU MMMHHHHH........

Ray Kigosi nampongeza sana kwa kuhakikisha anakua na mwili wa star, yani sio minyama uzembe na kitambi, zamani alikua kibonge sana lakini hivi sasa Ray kajipunguza na ni jambo la kumpa pongezi, tunae katoto ketu ka bongo movie LULU, nasema katoto kwasababu ni kweli katoto ka  miaka kumi na nane tu japo mambo yake makubwa, ka Lulu bwana na kenyewe kameamua kuachana na ulaji mbovu na uvivu kameamua kuingia gym ili kawe na mwonekano mzuri na afya bora.

                                                      LULU

                                      LULU (hapo katika mambo ya selfie)
 
 
                                             RAY KIGOSI
 

 
          Na hapa chini ni picha ya Ray baada ya kupungua

No comments: