Wednesday, September 25, 2013

WAIGIZAJI HAWA WANAVYOPENDEZA NA NGUO ZA KIAFRIKA

Hapo juu ni Wema Sepetu kutoka bongo movie, yeye kavalia vazi lililoshonwa na kitambaa cha kimasai.
 
                                                       JACKIE WOLPER
 
Wolper hapo juu kavalia vazi la kitenge.
 
                                            GENEVEIVE NNAJI
 Geneveive yeye katokelezea na vazi la kinaija zaidi,
                                       
                                                   OMOTOLA JELADE IKINDE
 Bidada Omosex nae katokelezea na kitenge chake na yeye ni muigizaji kutoka Nigeria

                                                        JACKIE APPIAH
Jackie nae ametokelezea na kitenge chake, yeye ni muigizaji kutoka Ghana.
 
 
                                            NADIA BUARI
Nadia kutoka Ghana nae katokelezea na kitenge kwenye red carpet.
 
Hawa ni wasanii maarufu Afrika ambao huwa wanapendeza sana lakini nimeona wakivaa kiafrika wanapendeza zaidi, nilitamani kukuletea wa Hollywood lakini too bad hawana mavazi ya asili, kweli waafrica tunabahati sana

No comments: