Thursday, September 26, 2013

MOVIE YA KEEPING MY MAN YA RUKKY SANDA IPO TAYARI

Ile movie iliyokua inazungumziwa mara kwa mara na mitandao mingi ya kinaigeria ya Rukky Sanda sasa ipo tayari, Rukky Sanda amezindua movie yake hii inayoitwa KEEPING MY MAN huko Lagos kwenye hotel wheatbaker.


                                                          RUKKY SANDA
Movie hii inahusu maisha ya ndoa na migogoro yake, yani kwa ujumla imeelezea mapenzi hasa kwa wanandoa. Ndani ya movie kali kuna mastar wanaotambulika Africa kama Ini Edo, Ramsey Noah na Monalisa Chinda.


                                 picha hii inamuonyesha Rukky Sanda akiwa na Ini Edo wakiact hii movie
 
 
 
                                   picha hii ya chini inamuonyesha Monalisa Chinda akiwa anact hiyo movie pia.


                                         na hii picha inamuonyesha Ramsey Noah akiwa anaigiza hiyo movie.
 
MONALISA CHINDA

Monalisa ameshacheza movie nyingi na ni maarufu kwa hyo kucheza kwake kwenye hii movie kutaifanya hii movie iwe na msisimko.


                                                       RAMSEY NOAH NA INI EDO
 
 
Hawa ndo wenyewe hawa yani ukiwakuta tu kwenye movie kaa uiangalie lazima hiyo movie itakua bomba, sasa kwenye hii movie watakuwepo,  Ramsey nae umri unamtupa mkono lakini anajitahidi kuaendana na wakati unaweza kufikiri anamiaka 30, na Ini Edo nae ndo sina cha kusema kwasababu nampenda kupita maelezo.

No comments: