Tuesday, December 16, 2014

KWA WALE WAZEE WENZANGU MNAMKUMBUKA VAN DAMME? MKALI WA MOVIE ZA KUPIGANA ENZI HIZO... EMBU MCHEKI MWANAE WA KIUME ANAYEFUATA NYAYO ZAKE ALIVYO HANDSOME..

HUYU NDIE MTOTO WA KWANZA WA VAN DAMME, KIJANA HUYU NAE NI MUIGIZAJI WA MOVIE ZA KUPIGANA. ANAITWA KRISTOPHER VAN VARENBERG.



Hapa Kristopher akiwa kwenye movie aliyocheza na baba yake inaitwa SIX BULET, humu ndani Kristopher alicheza kama FBI AGENT,kwa ambao bado hamjaiona hii movie itafuteni ni bonge la movie kuna action za maana humu ndani.


wanasema motto wa nyoka ni nyoka, hapo ni kwenye red carpet Kristopher akiwa na baba yake Van damme akimuonyesha action kidogo

hii ni familia nzima ya Van damme,hakokabinti kenye tshirt nyeupe ni motto wa pili wa Van dame ambaye nae pia yuko kwenye movie ya SIX BULLET, ye amecheza kama mschana anayewateka mabinti na kuwauza .

HAPA NAONA JAMAA YUKO KWENYE PROJECT KAMA ZA DIAMOND.





No comments: