Tuesday, December 16, 2014

JAMANI MNAMKUMBUKA MUIGIZAJI AISHA WA MAMBO HAYO? NA LILI PIA? INGIA UMUONE MTOTO MKUBWA WA MR CHUZ

HUYU NI AISHA WA ENZI ZILE ZA MAMBO HAYO, MPINZANI WAKE MKUU ALIKUWAGA WARIDI, JAMANI MBONA TUNATAMANI HAWA WATU WACHEZE HATA MOVIE YA PAMOJA MAANA TUMEWAMISS....hapo Aisha yuko na mwanae ambaye alikuwa amehitimu kidato cha nne. Aisha hajabadilika yani yuko vile vile hazeeki



Na huyu ni Lili, nae alikuwaga kwenye kikundi cha mambo hayo, na hapo yuko kwenye graduation ya mwanae akiwa nae amehitimu kidato cha nne, eti naskia huyu motto wa Lili kumbe alizaa na Mr Chuz,

No comments: