Friday, December 5, 2014

HIVI UNAJUA HOLLYWOOD WANAANZA KUSHOOT MOVIE GANI YA KUSISIMUA NA ILIYOKUWA INASUBIRIWA NA MASHABIKI DUNIANI KOTE? INGIA USOME


Movie ya  JAMES BOND ambayo hii itakuwa ni ya title ya 24 inaanza kushotiwa next week, kama mnavyojua kwa sasa mtu anayecheza kama JAMES BOND ni muigizaji mwenye mvuto wa kibaba nae si mwingine bali ni DANIEL CRAIG, na movie hiyo itaitwa SPECTRE, si mnajua JAMES BOND ni title tu lakini movie lazima iwe na jina.


HAWA HAPA NDO WAIGIZAJI WATAKAOCHEZA KWENYE MOVIE YA JAMES BOND 24
Andrew Scott, Ralph Fiennes, Naomie Harris, Sam Mendes, Lea Seydoux, Daniel Craig, Monica Bellucci, Christoph Waltz and Ben Whishaw


MNYAMA MWENYEWE HUYU DANIEL CRAIG NDIO ANAYECHEZA KAMA JAMES BOND BABA HUYU MZEE LAKINI ANAMVUTO WA KIZEE YANI ANANOGA KUWA STARING, MAANA HANA LIKITAMBI.
James Bond 'Spectre' film photocall,
NA HII HAPA CHINI NDIO NDINGA ITAKAYOTUMIKA KWENYE MOVIE HII MPYA HAPO DIRECTOR ANAIFUNUA.
New James Bond car revealed
EEHH MWALI KASHAFUNULIWA KAMA MNAVYOMUONA HAPO CHINI, MWALI ANAMACHO MADOGOO SIPATI PICHA ATAKAVYOCHAKAZWA NA DANIEL CRAIG MAANA JAMAA HUWA HAKOSEI..
New James Bond car revealed


OKAY......KUTOKA TANZANITEMOVIES BLOG NI MIMI RACHEL TUKUTANE BAADAE WEMA AU DIAMOND AKIFANYA CHOCHOTE MAANA BILA WEMA WATU HAMUINGII KUSOMA

No comments: