Wednesday, December 10, 2014

KUMBE MANGE KIMAMBI ANAMILIKI KIJIJI MBWENI ........KWELI MASHAUZI YANATAKA PESA....

                      MANGE KIMAMBI AKIWA NA MWANAE WA MWISHO.
HII HAPO CHINI NI PICHA YA KIJIJI ANACHOMILIKI MANGE KIMAMBI.


Unaambiwa hiki kijiji kilichopo mbweni ambacho nakibatiza jina labda tukiite KIMAMBI VILLAGE, kilivamiwa na watu wakajenga nyumba zipatazo 40 na bado mueneo umebaki ...




kama mnavyoona hapo ni wale watu waliouziwa vi pisi vya viwanja hapo KIMAMBI VILLAGE wakiendelea kujenga lakini inasemekana wanatakiwa waondoke haraka .


STORY IKO HIVI...... blogger Mange Kimambi alinunuliwa kijiji hiki na marehemu baba yake, kijiji hiki kipo mbweni, kwanza huko mbweni sasa hivi viwanja ni bei mno kwa hiyo kwa mtu kama Mange anayemiliki kijiji badala ya kiwanja nadhani mnajua hapo thamani yake ikoje, sasa bwana kwa bahati mbaya mlinzi waliyemuweka awalindie alipoona baba yake Mange amefariki akaanza kuuzia watu baadhi ya maeneo kwenye kijiji hicho cha KIMAMBI, sasa mahakama imetoa order wabomoe walivyovijenga ili Mange na wadogo zake wawili waanze kukitumia kijiji chao,


YANI NIKIONA HIVI NASIKIA UCHUNGU KWA WALE WAZAZI AMBAO WANAFANIKIWA KUWA NA KIPATO KWENYE MAISHA LAKINI WANAENDEKEZA STAREHE NA VIMADA WANASAHAU KUWAACHIA WATOTO WAO VITEGA UCHUMI, MATOKEO YAKE NDO UNAKUTA WATOTO WANAKUWA WAKUBWA MISINGI MIZURI HAWANA MAISHA MAGUMU WANAISHIA KUWA WAUZA UNGA, KAMA WANAWAKE WANAISHIA KUWA MACHANGUDOA LAKINI UKIFATILIA UNAWEZA KUKUTA WAZAZI WAO WALIKUWA NJEMA TU ILA HAWAKUKUMBUKA KUWAWEKEA VITEGA UCHUMI WATOTO WAO, yani naandika hivi nikiwa na uchungu mno maana najua jinsi watu wanavyohangaika kwa makosa ya wazazi wao mitaani, LAKINI MAREHEMU MZEE KIMAMBI NAMSIFU KWA KUKUMBUKA KUWAACHIA WANAE VITEGA UCHUMI KWA KIJIIJI HICHO TU CHA MBWENI WANAE WANAUHAKIKA WA KUISHI VIZURI MPAKA UZEENI...


na sisi vijana tuige mifano, tunapoanzisha familia tukumbuke kuewekeza kwa ajili ya watoto wetu tunaowazaa ili wasije kuhangaika baadae, yale mambo ya toa mwili upate kazi hayatatokea kwa watoto wetu kama tumewaachia misingi mizuri, kila tunapofanikiwa tukumbuke kuweka akiba na tukumbuke kuwa na asset ili ziwanufaishe watoto wetu, tusikalie kununua magari, pochi na viatu, na kuwa busy kila siku kwenye starehe badala yake tuwe busy kununua vijiji kama alivyofanya mzee wake Mange.

No comments: