Saturday, December 20, 2014

EMBU CHEKI MTIRIRIKO WA PICHA ZA DIAMOND NA ZARI SIKU YA PARTY YA ZARI AMBAYO ILIKUWA NI PARTY AMBAYO HAIJAWAHI KUTOKEA KWENYE HISTORIA YA PARTY ZA ZARI UGANDA...



1


2
3


4


5
6


1971478_819810648080987_2025137741_n
10864893_374359276063658_1036335938_n
7


8
9
10857958_10153006148796015_2596023406209527585_n
IMG-20141219-WA0000


IMG-20141219-WA0001
IMG-20141219-WA0008


IMG-20141219-WA0012


IMG-20141219-WA0013
IMG-20141219-WA0014


IMG-20141219-WA0016
Screenshot_2014-12-19-01-28-34


Screenshot_2014-12-19-01-28-48


Unaambiwa siku ya juzi Uganda nzima ilizizima .... watu walikuwa hawana kingine wanachowaza zaidi ya party ya Zari ambayo Rais wa jamuhuri ya muungano wa bongo flavour DIAMOND PLATNUMZ alikuwa mgeni rasmi, kwanza kabisa wengi walijua party hii itabuma kwasababu siku hiyo hiyo kulikuwa na party classic ya mwanamziki wa Uganda Jose Chamillione, kilichotokea Jose mwenyewe hakuamini, unaambiwa nyomi iliyojaa kwenye party ya Zari ilikuwa ni balaa yani ukikanyaga sehemu ukinyanyuua tu mguu mwenzako unakuta kashakanyaga basi utajiju kama utauning'iniza mguu hewani au utamkanyaga mwenzako mpigane, unaambiwa mamia ya watu walishindwa kuingia ndani kwasababu watu waliokuwepo ndani ya club walikuwa ni wengi mno mpaka wamiliki wa club wakafunga milango kwa hyo mamia ya watu wakabaki nje wanasikilizia kwa mbali mambo yanavyoendelea ndani, halafu sasa, hapo Diamond alikuwa amealikwa kwenda kama mgeni tu na sio kukata mauno , sasa ndo angealikwa kwenda kutoa burudani siuwanja wa mpira ndo ingebidi utumike ili watu watoshe, YANI ZARI NEXT TIME UKIMUITA RAIS DIAMOND KWENYE PARTY ZAKO HAKIKISHA UNAFANYIA UWANJA WA TAIFA HABARI YA KUFANYIA CLUB MWISHO KUTA ZA CLUB ZITAVUNJIKA KWA KUSHINDWA KUHIMILI KUEGAMIWA NA UWINGI WA WATU,unaambiwa toka club hiyo ijengwe haijawahi kujaza watu kama walivyojaa juzi,  basi sasa, Josee sialikuwa na yeye na party yake unaambiwa alifanya fastaer faster party yake iishe ili na yeye akale bata kwenye party ya Zari, na yeye huyo akatimba ndani ya nyumba, basi ikawa ni amani imetawala magwiji wawili wamekutana gwiji mkubwa na gwiji motto ilikuwa burudani sana, MADAM RITA PALSEN nae ndani ya nyumba mwanangu, yani kuna watu wazalendo jamani unaambiwa akaona ya nini kujibana hela ninayo kitakachonifanya nijifungie ndani kusubiri picha nini? akatimba bwana, JACKIE PEMBA NAE NDANI YA NYUMBA UNAAMBIWA ALIMWAGA MIHELA KAMA WALE MAPEDEJEE WA KI NIGERIA .... mimi pia ndani ya nyumba(natania)


BASI HAYO NDO YALIYOJIRI SIKU YA JUZI KWENYE ZARI ALL WHITE CIROC PARTY.



















No comments: