Thursday, February 27, 2014

WEMA SEPETU, MANGE KIMAMBI, OMOTOLA JELADE NA MIRIAM ODEMBA. HEBU JIKUMBUSHENI HILI TUKIO KIDOGO






kipindi hicho kama sikosei mwaka jana, Wema Sepetu  akiwa kajipanga vizuri kwenye kazi zake, alimleta msanii wa movie wa Nigeria OMOTOLA JELADE IKINDE ili azindue movie yake iliyokua inaitwa SUPER STAR, mpaka leo movie hyo haijatua mikononi mwa wananchi na wanachi wameisubiri mpaka wameisahau. WENGI WAMEKUA WAKITOA MAONI NA KUMTAKA MREMBO HUYU KUANZA KUZIACHIA MOVIE ZAKE KWANI NI KIPINDI KIREFU HAJAONEKANA KWENYE MOVIE

No comments: