Saturday, February 15, 2014

WASTARA ANYWA SUMU?








kwa mujibu wa gazeti inasemekana Wastara ambaye ni muigizaji alikunywa sumu kutokana na matatizo mengi kumuandama, anyway wengine huwa hatuamini sana kinachooandikwa magazetini ila tunamuombea huyu dada kwasababu kapitia mengi kwenye maisha

No comments: