Tuesday, February 25, 2014

JACKLINE WOLPER ACHACHAMALIWA BALAAA






Uwiii yani watu wamemchachamali Jackilne Wolper ambaye ni msanii wa maigizo nchini. Wolper alitundika picha zikimuonyesha anafanyiwa massage, na kuelezea kwamba kaenjoy sana, watu wacha wachachamae, watu wakaanza kucomment kwamba Wolper mbona mshamba, yani kitu kama massage tu ndo unaanika ili kila mtu ajue, wengine wakaanza kusema ni ulimbukeni, wengine wakaanza kusema anataka tu magazeti yamuandike maana kaona hajaandikwa siku nyingi, anyway, WEWE UNAONAJE?

No comments: