Monday, February 3, 2014

JOKETI NA WEMA SEPETU PAMOKO SANA.






Jionee mtazamaji, hawa walikua wake wenza kitambo kidogo tu, sasa hivi yameisha wamekua marafiki tena, kumbuka kwamba hawa upinzani wao ulianzia wakati wanagombania u miss Tanzania, na Wema ndo aliibuka kidedea akawa miss Tanzania mwaka 2006 na kwa mwanaume Wema tena kaibuka kidedea kawa mrs Diamond.

No comments: