Wednesday, February 19, 2014

IRINE UWOYA ASHAURIWA HIVI




Kutokana na muigizaji aliyejipatia sifa nyingi nchini IRINE UWOYA kupotea kwenye sanaa ya maigizo na kujikita kwenye utangazaji kumewafanya mashabiki wake wamkumbuke na wengi kutoa maoni ya kwamba binti huyu atapoteza kipaji chake, wengi wamemtaka kuendana na hali ya maisha inavyokwenda kwani hivi sasa ni kawaida kumuona msanii wa maigizo akifanya kazi zaidi ya mbili, Irine alitakiwa kufanya kazi zote na sio kufanya moja ya utangazaji na kusahau uigizaji, NI HAYO TUUUU.



No comments: