Friday, February 7, 2014

WASANII WA MOVIE NAIGERIA NI NOMARRR.


kushoto hapo ni KETY HENSHAW, RITA DOMINIC, STEPHANIE OKEREKE na OMOTOLA JELADE,






Wasanii wa movie wa Nigeria hasa wa kike sasa hivi wanajitambua mchango wao ni wakina nani kwenye jamii na wamekua wakiheshimika na makampuni na mashabiki wao pia, ni jambo la kawaida hivi sasa kwa wasanii hawa kusaini mikataba minono ya hela kwa kua mabalozi wa makampuni mbalimbali, wamefikaje hapo, kwanza kwa kua na heshima na kazi zao na kuishi maisha yanayoeleweka, mavazi na shule pia,  kwa hapa kwetu msanii ambao tunaweza kuthubutu kusema alijitahidi ni KANUMBA tu.

No comments: