BATULI
MWAKIFAMBA
Eti inasemekana kwamba rais wa shirikisho la filamu Tanzania Simon Mwakifamba anamahusiano na muigizaji wa kike ambaye si mkali sana kwenye sanaa japo ni mzuri sana kimuonekano anayeitwa Batuli, Kashfa hiyo imekuja baada ya Mwakifamba kumteua Batuli kwenda nae Dodoma bungeni kwani wasanii walialikwa huko kwenye bunge la katiba na Mwakifamba akiwa kama rais wa shirikisho akaacha kuwachagua wakina Tea, Monalisa, akamuchagua Batuli msanii mchanga kabisa.
NI KWA MUJIBU WA GAZETI MOJA HIVI.
No comments:
Post a Comment