Friday, February 21, 2014

GENNEVIEVE NNAJI, WEMA SEPETU NA OMOTOLA JELADE NGOMA DROO

GENEVIEVE NNAJI

OMOTOLA JELADE

OMOTOLA JELADE

WEMA SEPETU

                                                           WEMA SEPETU




Omotola na Genevieve ni wasanii wakubwa sana Nigeria, wasanii hao walianza kazi ya kuigiza kwa pamoja na mpaka sasa ni vinara huku wenzao wakifwata kwa nyuma, Wema ni msanii wa movie za Tanzania ambaye alianzia kwenye u miss na baadae kuingia kwenye sanaa ya maigizo na yeye hivi sasa ndie msanii aliye juu kuliko msanii yeyote wa kike, wasanii hao kutokana na ukubwa wa hadhi zao hivi sasa wamekua wakiwacharge ma producer wa movie hela nyingi ikiwa ni malipo yao ya kucheza movie, kutokana na hali hiyo ma producer wamekua wanapata wakati mgumu kuwachezesha kutokana na kua na budget ndogo, sasa kutokana na hilo wasanii hawa wameamua ni bora kutokucheza movie kuliko kucheza movie na kulipwa malipo yasiendana na hadhi yao, inasemekana Genevieve na Omotola mara ya mwisho kurecord movie ni kama miaka miwili iliyopita na Wema hajaonekana kwenye movie siku nyingi na akionekana basi ujue yeye ndo kaiproduce, ni hayo tu

No comments: