Monday, February 10, 2014

BEYONCE NA JAY ZEE WA AFRICA




Hawa ni waigizaji ambao mapenzi yao yamekua mvuto kwa watu wengi na wengi wamekua wakiyafananisha na ya Beyoncé na Jay, huyu kaka anaitwa Jim Iyke ni muigizaji wa Nigeria na dada anaitwa Nadia buari ni muigizaji wa Ghana.

No comments: