Wednesday, February 5, 2014

SINTAH MATATA SANA










I love this woman, hana makuu, kwa wasiomjua unaweza kujua kwamba anajishaua kutokana na picha anazopiga na maneno anayoyaweka kwenye blog, lakini when u get the chance to meet her in person, she is so different, she is very kind and open, sio mchoyo wa maendeleo,  yani huyu mtu unaweza ukamuona leo na leo hiyo hiyo mkawa mtu na dada yake.  yani sina maneno mengi ya kumuelezea. hizi picha sura yake iko kama alivyozaliwa, yani kitu bila make up.

No comments: