Sunday, February 16, 2014

WASCHANA BONGO MOVIE WAPEWA MAKAVU LIVE.




Waschana wa Bongo movie wameshauriwa kufwata nyao za mwanadada mkenya anayetikisa Hollywood anayeitwa LUPITA NYONG'O, kwanza kabisa wameshauriwa kutokukata tama na kazi zao kwa kuhisi labda hawatafika mbali na pia kutokata tama na kipato chao mpaka kufikia hatua ya kuanza maisha ya kujiuza na hatimae kukumbwa na skendo mbalimbali magazetini, Lupita ni mschana kama wao, anajiheshimu na amefika mbali tena kwenye nchini kubwa kama Marekani, wanatakiwa pia kutokujiaribu mionekano yao kwa kujichubua na kunenepeana hovyo kwa kujishindilia mi bia na minyama kwani muonekano pia ni chachu ya wao kufika mbali, moja ya vitu vinavyowavutia wengi kuhusu muigizaji huyu Lupita ni muonekano wake wa asili, hizo hapo juu ndo picha za LUPITA NYONG'O.

NA HAWA HAPA CHINI NDO WASANII WETU WA BONGO MOVIE



No comments: