Sunday, January 18, 2015

VANESA MDEE NA MWANAMZIKI JUMA JUX HIVI SASA NI KAMA JAY ZEE NA BEYONCE



Ununaambiwa hivi sasa Vannesa mdee na Juma Jux wako kwenye mahaba mazito . Walijifichaficha lakini hivi sasa kila kitu hadharani. Sasa hivi imefikia hatua wanashoot video pamoja na wakiwa jukwaani wanaimba pamoja.hayo mambo tulizoea kuyaona kwa beyonce na jay zee lakini hivi sasa tinayaona hapa bongo.. hii couple imetokea kupendwa na wengi kwani huko kwwnye mitandaoya kijamii watu wwngi wanatoa maoni ya kuwapongeza.

No comments: