Monday, January 19, 2015

MSANII MAARUFU WA MOVIE ZA KINIGERIA AFARIKI DUNIA


Inasikitisha sana msanii huyu anayeitwa Muna kufariki baada ya kuugua kwa muda mchache. Muna alijipatia umaarufu sana kwa kucheza movie nyingi na ma star wenzake wengi wa Nigeria. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi

No comments: