Thursday, March 27, 2014

JOHARI APATA WA KUMRINGISHIA RAY KIGOSI


hii picha hapo juu ni Johari ambaye alikua na uhusiano na muigizaji mwenzie na partner mwenzie kwenye kampuni Ray, Ray na Johari wamekua pamoja kipindi kirefu sana mpaka hivi sasa ambapo kila mmoja anampenzi mwingine, Ray ndo aliyemuacha Johari kaamua kua na mwanadada Chuchu ambaye pia ni muigizaji, Johari nae kaamua kujiweka kwa promota wa mziki anayesifika kwa dharau nyingi Ustadhi Juma.

Ray

Hapa Ray yuko na mpenzi wake wa sasa anayeitwa Chuchu Hans

1 comment:

Anonymous said...

mbona johari anaonekana hans raha na huyu kaka?