Sunday, March 23, 2014

JAKLINE WOLPER NA KASHFA YA KUNUKA MWILI. ETI ANAJIPAMBA NJE NDANI MMHHH




Msanii Jackline Wolper ambaye ni mrembo kwelikweli jana amechambwa vilivyo kwenye mtandao wa instagram na mashoga zake, mashoga hao wamekasirishwa na kitendo cha Jackie kumuibia bwana rafiki yake anayeitwa Husna, hivyo watu hao wakawa wanasema sio vizuri Jackie kumtendea mwenzke hivyo na pia wakaanza kusema kwanza Jackie hua hakai na mwanaume kwasababu ananuka .........., eti wakaanza kusema wanaume wote wanaotemea na Jackie huwa wanaishia kumtangaza kua ananuka......... na hmuacha muda mfupi baada ya kutembea nae, wengine walikua wakisema kinachomponza kunuka ni hayo makucha marefu anayoyabandika masaa 24 kwani kukaa na makucha kama hayo ni wazi kabisa kutakufanya ushindwe kujifanyia usafi vizuri. haya ndo hiyo kumbe SI KILA KING'AACHO NI DHAHABU.

No comments: