DUH NI B ALAAAAAAA,
Unaambiwa Diamond alizomewa Fiesta hadi ikabidi akatishe show ashuke stejini….
The only time hawakumzomea ni alivyokuwa anaimba na Davido nahisi walimwonea aibu Davido..hahaha…
Eti wanamzoea huku wanaimba KIBA,KIBA KIBA….
Ali Kiba alivyopanda kwa steji wakamshangiliajeeeeeeeee
Duh wabongo noma aiseeee……Jamani huyu kijana amestruggle sana mpaka amefika hapa kwanini mnamuharibia career yake lakini? sio fair kabisa yani.
Kiba aliamua mwenywe kupumzika mziki, sasa karudi. Sio haki kwamba kurudi kwake ni atumie kumrudisha Diamond nyuma. Mie naona kama Kiba apewe support na Diamond apewe support ila sio haki kabisa kumwaribia Diamond. Kwani kamkosea nini Kiba lakini? Beef la mwaka 47 nyie mnalikuza leo.
Kwani lazma kuwe na one bongo flava king only? kwani hawawezi kuwa wawili, au watatu au wanne? Wasapotini wote jamani.
Acheni hizo bwana sio poa kabisa
BASI MASHABIKI NAO HAWAKUA NYUMA WAKATOA MAONI YAO JUU YA SHEM DARLING WETU.
Anonymous
WA TZ KAMA TUMEROGWA SIJUI KWANIN YAAN UKIWA CHIN WATAKUSAIDIA UPANDE JUU HATA KWA KUKUAZIMIA NGAZI KWA JIRAN WATAKUTIA MOYO WATAKUPENDA BALAA SASA UKIFIKA JUU UWWW WANAKUCHUKIA NA KUFANYA KILA WAWEZALO USHUKE CHINI. ILA CLOUDS NAO WALAUMIWE MAANA ZILE SCREEN VIDEO ZA ALIKIBA AM SURE WALIZIANDAA WAO ZILIKUA ZA KUCHOCHEA BEEF NA KUMSHUSHA DIAMOND.
43
3
- Diamond kaa mbali na usimzungumzie Kiba mi naona anataka kurudi kwenye game kwa kukudiss kaa naye mbali ni linyoka tuu na lenyewe na hawa mawingu fm unakumbuka walichomfanya Ngwear na Jaydee? stay away from them shauri yako na hao friends wangalie sana, na acha kwenda kwenda kwenye media only when is necessary
huwajui watanzania majungu ndo jadi
Halafu cha ajabu hizo sare za jeshi alivaa hata Ney wa Mitego lakini sijamuona kuandikwa.
31

Jamani mimi siyo mushabiki wa DIAMOND wala mushabiki wa muziki nina swali kwa KIBA ulisema eti ulipumuzika kuleya wa toto wako ,awo watoto awana mama zaho? Kweli kama ulipanga kuzomeya DIAMOND kweli siyo cool.nani alikwambiya utoke kwenye game?ulizo ya
ReplyDeleteDada Rachel ili Jambo lina ni uma sana tena sana kitendo yakuzomeya DIAMOND .nahuliza wakati
ReplyDeleteDIAMOND alikuja uku USA kwajili ya BET hakuja na bendera ya kigoma lakini alikuja na bendera ya TANZANIA come on ,mumefikiri mume muhahibisha mume jihahibisha wenyewe mbele zawageni.na huyo KIBA nani alikwambiya utoke kwenye game come on brother eti ilikuwa na chunga watoto wako ,awo watoto awana mama zawo?jamani mimi siyo mushabiki wa DIAMOND lakini nimehumiya sana.kweli kama ulipanga njama kwajili ya kuzomeya mwezako ujuwe kama vyote vina lipwa chini ya juwa,na usiwaze una mushusha ila unamupa kiki sasa kwa sababu kila kona wana muhongeleya DIAMOND