Huyu ni muigizaji na pia mwanamziki wa Marekani anaitwa Janefer Lopez, hapo alipo JLO anamiaka 45 na anawatoto wawili, lakini ukimtazama kama anamiaka 25 jamani, kwa haraka haraka bongo movies wetu anayejitahidi kufuata nyayo zake naona ni LULU MICHAEL NA JOKATE, na MIMI RACHEL (natania) jamani
tanzanitemovies blog is a blog that gives you the chance to know everything that happens in the movie industry. rahelimacdonald@gmail.com 0713-608524
Friday, October 31, 2014
EMBU MCHEKI JANEFER LOPEZ ANAMIAKA 45 LAKINI MMHH, KWELI UZEE MWISHO BONGO MAREKANI KILA MTU BABY.
Huyu ni muigizaji na pia mwanamziki wa Marekani anaitwa Janefer Lopez, hapo alipo JLO anamiaka 45 na anawatoto wawili, lakini ukimtazama kama anamiaka 25 jamani, kwa haraka haraka bongo movies wetu anayejitahidi kufuata nyayo zake naona ni LULU MICHAEL NA JOKATE, na MIMI RACHEL (natania) jamani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment