Yani mimi sio shabiki sana wa Wema lakini jamani haka kabinti sijui kananini yani nitake nisitake lazima navutiwa kukaangalia, wakati mwingine nasema week hii sipost kitu cha Wema lakini wapi najikuta napost kwasababu kila anachofanya najikuta navutiwa nacho,Diamond ndo usiongee kabisa, kwa kweli hii mutu mbili hii hakunaga Bongo nzima. SALUTE KWAKO MADAM
tanzanitemovies blog is a blog that gives you the chance to know everything that happens in the movie industry. rahelimacdonald@gmail.com 0713-608524
Thursday, May 1, 2014
WEMA SEPETU NA DIAMOND MAHABA NILIPUE
Yani mimi sio shabiki sana wa Wema lakini jamani haka kabinti sijui kananini yani nitake nisitake lazima navutiwa kukaangalia, wakati mwingine nasema week hii sipost kitu cha Wema lakini wapi najikuta napost kwasababu kila anachofanya najikuta navutiwa nacho,Diamond ndo usiongee kabisa, kwa kweli hii mutu mbili hii hakunaga Bongo nzima. SALUTE KWAKO MADAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Yaani kwakweli hawa watu ni balaa,nawapenda hadi naumwa.
Post a Comment