wengi mnamjua Wema sepetu, na mnajua kwamba huyu Penny alikua rafiki wa karibu na Wema muigizaji wa bongo movies, sasa Penny akamchukua mchumba wa Wema ambaye ni mwanamziki Diamond, na hivi sasa Diamond kaamua kurudi kwa Wema, sasa haya ni mahojiano ya Penny akielezea kila kitu kuhusu kuachana kwake na Diamond na mipango yake ya maisha.
No comments:
Post a Comment